22.11.13

Wednesday, November 20, 2013

(News) KCB TANZANIA YATOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI MKOA WA ARUSHA

 Baadhi ya wajasiriamali wadogo na wa kati wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanya kazi wa Benki ya KCB Tanzania,mara baada ya kumaliza semina ya kuelimisha wajasiriamali wa mkoa huo jinsi ya kufanya biashara na kutumia mikopo kwa usahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo imefanyika kwa siku moja jijini Arusha.

 Mkuu wa kitengo cha wajasiriamali wadogo na wakati wa benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha,Bw.Juma Abdul akitoa mada katika semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati yenye lengo la kuwaelimisha wajasiriamali wa mkoa huo jinsi ya kufanya biashara na kutumia mikopo kwa usahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo imefanyika kwa siku moja jijini Arusha.

 Baadhi ya wajasiriliamali wakifuatilia mafunzo wakati wa semina ya wajasiriamali wadogo na wakati wa mkoa wa Arusha iliyoandaliwa na benki ya KCB Tanzania kwa ajili ya kujifunza jinsi ya kufanya biashara na kutumia mikopo kwa usahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo imefanyika kwa siku moja jijini humo.

 Mmoja wa wajasiriamali Anna Mrema akipokea cheti chake toka kwa  Mkuu wa kitengo cha wajasiriamali wadogo na wakati wa benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha,Bw.Juma Abdul mara baada ya kufuzu mafunzo ya ujasiriamali wakati wa semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati iliyoandaliwa na benki hiyo yenye lengo la kuwaelimisha wajasiriamali wa mkoa huo jinsi ya kufanya biashara na kutumia mikopo kwa usahihi.

Bw.Robert John(kushoto)mmoja wa wajasiriamali wa mkoa wa Arusha akipokea cheti chake toka kwa  Mkuu wa kitengo cha wajasiriamali wadogo na wakati wa benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha,Bw.Juma Abdul(kulia) mara baada ya kufuzu mafunzo ya ujasiriamali wakati wa semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati iliyoandaliwa na benki hiyo yenye lengo la kuwaelimisha wajasiriamali wa mkoa huo jinsi ya kufanya biashara na kutumia mikopo kwa usahihi.

No comments: